Isaiah 5:13-14


13 aKwa hiyo watu wangu watakwenda uhamishoni
kwa sababu ya kukosa ufahamu,
watu wao wenye vyeo watakufa kwa njaa
na watu wao wengi watakauka kwa kiu.

14 bKwa hiyo kaburi
Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
limeongeza hamu yake
na kupanua mdomo wake bila kikomo,
ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu,
pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote.
Copyright information for SwhKC